Wednesday, 26 August 2015
RICHARD MABALA NDANI YA STARTUP GRIND`S EVENT
Tukio nzima ilifanyika pale BUNI HUB COSTECH sayans ambapo wahuzuliaji walipata nafasi ya kumjua Mabala pamoja na taasisi yake maendeleo shilikishi ya vijana wa arusha (TAMASHA) inayofanya kazi tanzania nzima. event ilienda vizuri na kufanya kila mtu kufurahia hujio wake kama mgeni muharikwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment