Wednesday, 26 August 2015

RICHARD MABALA NDANI YA STARTUP GRIND`S EVENT









 Tukio nzima ilifanyika pale BUNI HUB COSTECH sayans ambapo wahuzuliaji walipata nafasi ya kumjua Mabala pamoja na taasisi yake  maendeleo shilikishi ya vijana  wa  arusha (TAMASHA) inayofanya kazi tanzania nzima. event ilienda vizuri na kufanya kila mtu kufurahia hujio wake kama mgeni muharikwa.

No comments:

Post a Comment